GARI LA ZIMAMOTO LAPATA AJALI LEO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

GARI LA ZIMAMOTO LAPATA AJALI LEO

 Gari la zimamoto la Manispaa ya jiji la Dar es Salaam likiwa limepata ajali katika barabara ya Morogoro jijini Dar es Salaam majira ya asubuhi.
 Hali ndivyo ilivyokuwa.
 Barabara ilikuwa imefungwa na kusababisha msongamano mkubwa.
 
 Magari yakiwa katika msongamano mara baada ya kutokea ajali na kusababisha kufungwa kwa barabara. 

Mtangazaji wa ITV, Bw. Sam Mahela akifanya mahijiano na Kaimu Kamishna wa Usalama wa Umma Bw. Fikiri  akielezea jinsi tukio lilivyotokea.Picha Na Kajunason Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages