Waziri wa Habari Utamaduni Vijana na Michezo Dkt. Finella Mukangara Anusurika Kifo Katika Ajali - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Waziri wa Habari Utamaduni Vijana na Michezo Dkt. Finella Mukangara Anusurika Kifo Katika Ajali

 
 Waziri wa Habari Utamaduni Vijana na Michezo Dkt. Finella Mukangara,
---
 Waziri wa Habari Utamaduni Vijana na Michezo Dkt. Finella Mukangara,amenusurika kifo katika ajali ya gari iliyotokea leo Igunga mkoani Tabora wakati akiwa safarini kuelekea Mwanza akitokea Dodoma.

Gari la Waziri Dk. Mukangara linadaiwa kupinduka wakati dereva wake akijaribu kulipita roli la mizigo na kutaka kugongana uso kwa uso na basi la Green Sta lililokuwa likitokea Mwanza.

Waziri, Msaidizi wake na dereva walipata majeraha na kutibiwa katika Hospitali ya Nzega Mkoani Tabora

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages