TASWIRA KUTOKA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM) MARA BAADA YA WANAFUNZI WA MWAKA WA 3 KUMALIZA MASOMO YAO LEO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

TASWIRA KUTOKA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM) MARA BAADA YA WANAFUNZI WA MWAKA WA 3 KUMALIZA MASOMO YAO LEO

 Wanafunzi wa Mwaka wa tatu wa fani mbalimbali wakiwa katika foleni ya kurudisha vitambulisho vya chuo mara baada ya Kumaliza miaka 3 ya masomo yao ya shahada ya kwanza
 Mwanafunzi wa UDOM akiwa tayari kurudi nyumbani kwao mara baada ya kumaliza mitihani yake
 Kama kawaida Ifikapo kipindi hiki cha kumaliza muhula usafiri unasumbua na teksi ndio muda wao na hapa zikiwa zimehamia chuoni kabisa na kusubiri wateja
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wakisubiri daladala ili kuelekea mjini jioni ya leo.Katika Kipindi hiki Cha Wanafunzi kumaliza muhula na kufunga chuo na wengine kumaliza kabisa usafiri huwa ni wa taabu sana na ndio msemo wa kufa kufaana unapotimia mara baada ya teksi kuchukua nafasi katika kipindi hiki cha kufunga chuo

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages