REDDS MISS CHANG'OMBE KUPATIKANA KESHO JUMAMOSI UKUMBI WA QUALITY CENTRE - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

REDDS MISS CHANG'OMBE KUPATIKANA KESHO JUMAMOSI UKUMBI WA QUALITY CENTRE

 Warembo wanaotarajia kuwania taji la Redds Miss Chang'ombe kesho katika ukumbi wa Quality Centre, Dar es Salaam, wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mkutano na waandishi wa habari jana kwenye mgahawa mpya wa City Sports & Lounge uliopo mkabala na sanamu ya Askari, katikati ya Jiji la Dar es Salaam.
 Mwandaaji wa shindano hilo, Tom Chilala (kulia) akizungumza kuhusu maandalizi ya kimbembe hicho. Kutoka kushoto ni Meneja wa kinywaji cha Redds kinachodhamini mashindano hayo, Vick Kimaro na Meneja wa Kampuni ya Nexusw Consulting Agency, Neema David.
        warembo wakiwa kwenye pozi.PICHA NA KAMANDA MWAIKENDA)

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages