MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF IDI AREJEA KUTOKA KATIKA ZIARA YA WIKI TATU - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF IDI AREJEA KUTOKA KATIKA ZIARA YA WIKI TATU

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akivishwa shada la mauwa na Mtoto wake mara baada ya Kuwasili kutoka katika ziara ya Nchi za Izrail,Cuba na UAE.
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi Akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi yake Said Shaabani mara baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar.kutoka Ziara ya wikiTatu za nchi za Izrail,Cuba na UAE
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akivishwa shada la mauwa na Mtoto wake mara baada ya Kuwasili kutoka katika ziara ya Nchi za Izrail,Cuba na UAE.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akijibu hoja mbalimbali za waandishi wa Habari waliofanya mahojiano nao mara baada ya Kuwasili kutoka katika ziara ya Nchi za Izrail,Cuba na UAE.Picha na Yussuf Simai-Habari Maelezo-Zanzibar

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages