MAREHEMU NOELA HOLO MABULA AAGWA NA KUSAFIRISHWA MKOANI SHINYANGA KWA MAZISHI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MAREHEMU NOELA HOLO MABULA AAGWA NA KUSAFIRISHWA MKOANI SHINYANGA KWA MAZISHI

 Mke wa Waziri Mkuu mama Tunu Pinda akizungumza na Teddy Mapunda Mkurugenzi wa Mawasiliano wa kampuni ya bia ya Serengeti nyumbani kwake Mbezi Beach Teddy Mapunda  amefiwa na mdogo wake marehemu Noela aliyerafiki juzi na kusafirishwa jana kwenda Shinyanga kwa mazishi, kulia ni Mkurugenzi wa Radio One na ITV B. Joyce Mhavile.
 Rais wa shirikisho la mpira wa muguu nchini Tanzania TFF Bw. Leodger Tenga akizungunza na mkurugenzi wa Fullshangweblo Bw. John Bukuku katika msiba wa marehemu Noela jana.
 Waombolezaji wakiw akatika msiba huo jana.
 Mwili wa Marehemu Noela ukiingizwa nyumbani kwao kwa sala kabla ya kusafirishwa kuelekea mkoani Shinyanga kwa mazishi.
 Mama Tunu Pinda akiongoza waombolezaji wakati wa maombo kwa ajili ya marehemu katika msiba huo.
 Baadhi ya ndugu wa marehemu wakiwa katika ibada hiyo jana.

 Bw. Nestor Mapunda kulia Shemeji wa marehemu Noela akiwa amekaa pamoja na Rais wa TFF Leodger Tenga katikati.
 Padri akiongzoa waombolezaji katika swana ya kumuombea marehemu Noela.
 Mama Tunu Pinda akimfariji Teddy Mapunda wakati alipokuwa akimlilia  marehemu mdogo wake Noela wakati wa kutoa heshima za mwisho kwa marehemu nyumbani kwake Mbezi Beach.
 Waombolezaji ndugu na jamaa wakilia kwa uchungu wakati wa kuaga mwili wa marehemu.
 Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti Ephraim Mafuru katikati  akijumuika pamoja na waombolezaji wengine katika msiba huo.
 Mama Pinda akitoa heshima zake za mwisho kwa marehemu Noela .
 Teddy Mapunda akifarijiwa na Nandi Mwiyombela huku akilia kwa uchungu wakati  akiaga mwili wa marehemu mdogo wake.
Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti Ephraim Mafuru na Rais wa TFF Leodger Tenga wakitoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa marehemu Noela.
 Mkurugenzi wa Fullshangwe John Bukuku akipita kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Noela.
 Teddy Mapunda akitoa heshima za mwisho kwa marehemu mdogo wake Noela.
Wazazi wakitoa heshima  za mwisho kwa marehemu Noela.Picha Zote Kwa Hisani ya Full Shangwe Blogu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages