SIMBA YAFURAHIA UBINGWA WAO KWA KUWACHAPA YANGA MAGOLI 5 KWA 0 KWENYE MCHEZO WA LIGI KUU YA VODACOM - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

SIMBA YAFURAHIA UBINGWA WAO KWA KUWACHAPA YANGA MAGOLI 5 KWA 0 KWENYE MCHEZO WA LIGI KUU YA VODACOM

 Wachezaji wa Simba wakishangilia na Kombe mara baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom iliyomalizika jana Uwanja wa Taifa dhidi ya watani wao wa jadi Yanga.Simba ilishinda 5-0.
 Wachezaji wa Simba wakishangilia na Kombe
 Mashabiki wa Simba wakishangilia kwa namna yake
 Wachezaji wa Simba wakitembea mithili ya Simba mara baada ya kuwafunga watani wao wa jadi Yanga wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom uliochezwa  kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana.Simba ilishinda 5-0.Mbele ni Mchezaji wa timu hiyo, Uhuru Selemani na motto wake
 Wachezaji wa Simba wakishangilia
 Waziri wa Habari akimkabidhi Kombe nahodha wa Simba Juma Kaseja mara baada ya kutwaa Ubingwa  timu ya Simba
Mashabiki wakishangilia kwa mbwembwe

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages