Beatrice; Mtanzania aliyeshinda Medali ya Shaba ya Upishi Dernmark katika masomo - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Beatrice; Mtanzania aliyeshinda Medali ya Shaba ya Upishi Dernmark katika masomo

Beatrice Stefano Mpangala, 23, mtanzania aliyekuwa akisomea masomo ya Upishi katika chuo cha Elimu ya Juu cha katika Aabenraa nchini Denmark amefaulu vyema masomo yake na kutunukiwa Medali ya Shaba
 Beatrice ambaye ni Binti wa Sophia Mpangala wa Kibaha Mail Moja mkoani Pwani

Beatrice ni chef mwanafunzi katika Hoteli ya  Vojens ya nchini humo na alimaliza mazoezi yake kwa vitendo Hotelini hapo na kutunukiwa Medali hiyo kwa kufanya vyema katika masomo yake.

Kwa hiyo mimi niko tayari kwa changamoto mpya nitakazo kabiliana nazo katika miji mikubwa”, anasema Beatrice, ambaye ubunifu wake katika mapichi umempa tuzo hiyo.

Nae Niels Laursen, ambaye ni Ofisa katika katika Hoteli Vojens alikofanya mafunzo hayo anasema amejisikia fahari sana kwa mtanzania huyo mwenye vipaji lukuki vya upishi na anapasha kuwa ni mara ya kwanza kwa mwanafunzi aliyepita hapo kufanya vyema na kutwaa medali ya Shaba.
 Beatrice akiwa na Niels Laursen
Beatrice Stefano Mpangala, 23 Ã¥r, bestod svendeprøven som kok pÃ¥ Fagskolen i Aabenraa. Beatrice fik bronzemedalje. Beatrice er kokkeelev pÃ¥ Hotel Vojens. Beatrice afslutter lærlingetiden den 30. november pÃ¥ Hotel Vojens. 

- Så er jeg klar til nye udfordringer gerne i en større by, siger Beatrice, der går ind for kreativ madlavning.

Niels Laursen, vært pÃ¥ Hotel Vojens er naturligvis stolt at sin dygtige kokkeelev og fortæller at det er første gang, at en af hans elever er blevet belønnet med en bronzemedalje.GONGA HAPA kusoma  zaidi  BITE

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages