TANZANIA YASHIRIKI VYEMA KWENYE MAONESHO YA UTALII YALIYOFANYIKA NCHINI UJERUMANI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

TANZANIA YASHIRIKI VYEMA KWENYE MAONESHO YA UTALII YALIYOFANYIKA NCHINI UJERUMANI

Baadhi ya wafanyabiashara za utalii toka Tanzania wakiuza bidhaa za Tanzania.
Hawa ni washindi wa mashindano ya watu wenye mustachi yaandi ndeve ndefu zaidi duniani kama wanavyoonekana walipotembelea banda la Tanzania. 

Banda la TTB lilivyokuwa likionekana wakati wa maonesho haya
Bodi ua Utalii Tanzania iliratibu vyema maonesho ya utalii yaliyofanyika nchini ujerumani katika jiji la Berlin kuanzia tarehe 7 – 11 Machi 2012.

Maonesho ya ITB ndio maonesho makubwa duniani yanayowakutanisha wafanya biashara za utalii duniani.

Jumla ya makampuni 59 toka Tanzania ziliweza kuhudhuria kati ya hizi kampuni 31 zilikuwa ni zinazojihusisha na mahoteli (hotel, appartments), kampuni 24 zinazohudumia watalii (tour operatos) na kampuni nne, 39 ndege (Airline carriers).

Katika maonesho haya Bodi ya Utalii iliwaza vyema kutengeneza utalii ambao ni hazina kubwa kwa nchi ya Tanzania.Picha na Habari Kwa Hisani ya Father Kidevu Blogu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages