KIJANA SHABANI ISSA ANAHITAJI MSAADA WA HALI NA MALI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

KIJANA SHABANI ISSA ANAHITAJI MSAADA WA HALI NA MALI

429930_229694657127997_100002623935406_423535_1168718000_n
Mtoto Shabani Issa ni mzaliwa wa kijiji cha Chinokole wilayani Ruangwa anaomba msaada wa hali na mali ili aweze kupata matibabu na kuondolewa uvimbe katika jicho lake. Maisha yake ni duni anaishi na babu yake.Siku zinazavyozidi kwenda na uvimbe unazidii kuongezeka.


"Pls Pls toa chochote kufanikisha matibabu ya kijana huyu"



Piga simu au tuma Mchango wako kwa 

Victor Richard -
0755754494 na 0715 754494

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages