Balozi wa Ireland atembelea Kiwanda cha bia cha Serengeti (SBL) - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Balozi wa Ireland atembelea Kiwanda cha bia cha Serengeti (SBL)

Balozi wa Ireland nchini Tanzania Mhe. Loscan Fullan (wapili kulia) Meneja wa Fedha na Biashara wa SBL, John Collins, Brewery Manager wa SBL Colman Hanna, Meneja Mawasiliano wa SBL, Imani Lwinga na Meneja wa Ubora wa SBL, Alloyce Nduka wakionja bia za SBL wakati wa ziara hiyo ya Balozi.
Balozi wa Ireland nchini Tanzania Mhe. Loscan Fullan (kushoto) akitembezwa katika kiwanda na Meneja wa Fedha na Biashara wa SBL, John Collins (kulia) na Brewery Manager wa SBL Colman Hanna.
Balozi wa Ireland nchini Tanzania Mhe. Loscan Fullan (katuikati) akimsikiliza Brewery Manager wa SBL Colman Hanna juu ya hatua mbalimbali za uzalishaji bia SBL. Kulia ni Meneja wa Fedha na Biashara wa SBL, John Collins.
Balozi wa Ireland nchini Tanzania Mhe. Loscan Fullan (kushoto) akitoka baada ya kumaliza ziara hiyo kiwandani hapo. Pamoja nae ni Brewery Manager wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Colman Hanna na Meneja wa Fedha na Biashara wa SBL, John Collins anaeonekana kwa nyuma.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages