MKUTANO WA MAJUMUISHO YA ZIARA RAIS WA ZANZIBAR - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MKUTANO WA MAJUMUISHO YA ZIARA RAIS WA ZANZIBAR

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Viongozi na watendaji katika viwanja vya Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel, alipohudhuria katika mkutano wa majumuisho ya ziara aliyoifanya katika wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja mwishoni mwa wiki hii, ili kuangalia maendeleo ya sekta mbali mbali za Kijamii.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Viongozi na watendaji wa Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi,katika mkutano wa majumuisho ya ziara aliyoifanya katika wilaya hiyo huko Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel,Mjini Unguja jana,(kulia) ni Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Abdalla Mwinyi Khamis.
Baadhi ya Viongozi wa Idara mbali mbali za Serikali wakimsikiliza, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na  Viongozi na watendaji katika mkutano wa majumuisho ya ziara yake.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages