BREAKING NEWS:GALI LA KAMPUNI YA MWANANCHI COMMUNICATION LIMITED LAPATA AJALI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

BREAKING NEWS:GALI LA KAMPUNI YA MWANANCHI COMMUNICATION LIMITED LAPATA AJALI

Taarifa zilizotufikia hivi Punde katika Mtandao wa LUKAZA BLOG zinasema kuwa Gari ya Kampuni ya Mwananchi Communication inayosafirisha magazeti kwenda Moshi na Arusha imepata ajali leo asubuhi eneo la Kifaru, Mwanga. Madereva wa gari hilo, Mzee Frank na Bwana Abdallah wameumia. Abdallah hali hake siyo nzuri na hivyo amekimbizwa Hospitali ya Rufaa KCMC.Kwa habari zaidi tutawajuza kadri zinavyotufikia.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages