Taarifa zilizotufikia hivi Punde katika Mtandao wa LUKAZA BLOG zinasema kuwa Gari ya Kampuni ya Mwananchi Communication inayosafirisha magazeti
kwenda Moshi na Arusha imepata ajali leo asubuhi eneo la Kifaru, Mwanga.
Madereva wa gari hilo, Mzee Frank na Bwana Abdallah wameumia. Abdallah
hali hake siyo nzuri na hivyo amekimbizwa Hospitali ya Rufaa KCMC.Kwa habari zaidi tutawajuza kadri zinavyotufikia.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
BREAKING NEWS:GALI LA KAMPUNI YA MWANANCHI COMMUNICATION LIMITED LAPATA AJALI
BREAKING NEWS:GALI LA KAMPUNI YA MWANANCHI COMMUNICATION LIMITED LAPATA AJALI
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)