Roma Mkatoliki afunga pingu za maisha Jijini Tanga - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Roma Mkatoliki afunga pingu za maisha Jijini Tanga

April 9, 2016 Siku ya jumamosi ni siku ambayo imeingia kwenye historia ya maisha ya Mwanamuziki wa kufokafoka almaarufu HipHop kutoka Nchini Tanzania si mwingine ni Roma Mkatoliki ambae siku hiyo amefunga pingu za maisha na mwandani wake wa siku nyingi ambae walibahatika kupata mtoto mmoja wa kiume aitwaye Ivan.

Pingu za maisha zilifungwa katika Jiji la Mahaba Kule Tanga kunani mara baada ya bibi harusi kuagwa katika jiji la Maraha Na Karaha la Dar Es Salaam february 2016. Pamoja na ndoa hiyo harusi yake ilihudhuliwa na wakali wa bongo fleva wengi tu huku Kala Jeremiah akiwa best man wa Roma Mkatoliki

Lukaza Blog inawatakiwa maisha mema na ya amani katika Ndoa yao Na Mwenyezi Mungu awalinde na mahasibu yote na awabariki

[​IMG]
[​IMG]


[​IMG]
[​IMG]
[​IMG]
[​IMG]

Kila la Heri Roma Mkatoliki

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages