Koku Gonza
Hatimaye Tanzania imeendelea kumake headline tena katika nyanja za kimataifa huku safari hii Tanzania ikijipenyeza katika Filamu. Mara baada ya Samatta Mbwana kuiteka dunia sasa ni zamu ya Mtanzania wa Kike aliyeonekana katika Tamthilia ya EMPIRE ambayo imeingia katika Season ya 4. Mtanzania huyo aitwaye Kokugonza ameonekana kwenye moja ya scene akimfundisha mwigizaji mwenzake kucheza na Piano. Koku gonza ni mmoja ya msanii wa Kike anayeishi Nchini Marekani huku akiwa na uwezo wa kupiga Piano kwa ufasaha na ustadi wa hali ya juu.
Koku Gonza akiwa na muigizaji mwenzie Hakeem.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)