Polisi wa Mwanga wamezuia msafara wa Mhe.Lowassa katika kijiji cha Maroro wilayani Mwanga sasa hivi akiwa ameongozana na Mhe.Mbatia, Mhe Ndesamburo na Mhe. Augustino Mrema waakti ukielekea msibani kwa madai kuwa wanaosindikiza msibani ni wengi sana.

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Hello, my name is Josephat Lukaza. I've 12 years in Blogging and An Award Winner for the BEST Political Blog in African Bloggers Awards in 2015
Learn More →
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)