
Mwanamuziki Ramadhani Masanja almaarufu Banza Stone enzi za Uhai wake
Baada ya kuzushiwa kifo takribani mwezi mmoja uliopita Mwanamuziki wa dansi nchini Tanzania Ramadhani Masanja ajulikanae kwa jina la Banza Stone amefariki dunia mapema ya leo mara baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Taarifa zaidi za Msiba tutaendelea kuwajuza. Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi Amina





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)