Mdau Maneno Abdallah ang'ara na mkewe Bi Nusrat Tahwa - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Mdau Maneno Abdallah ang'ara na mkewe Bi Nusrat Tahwa

Bwana Harusi Maneno Abdallah na Mkewe Bi Nusrat Tahwa wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufunga ndoa hapo jana
 Bwana harusi akielekea kuchukua jiko lake Kimara huku akisindikizwa na wapambe na Mshenga wake
 Dua ikiendelea nyumbani kwa Mwanamke Kimara kabla ya ndoa kufungwa na Maneno kuondoka na Jiko lake
 Nderemo na vifijo 
Mtu akilia mara baada ya dada yake kuchukuliwa 
 Kaswida maridhawa akipigwa na watoto wa madrasa
 Akifungishwa Ndoa hapo jana
 Baba wa bi harusi akitoa nasaha kwa watoto wake
Akimfunua Mkewe mara baada ya kukabidhiwa rasmi hapo jana
Mdau Maneno akiondoka na jiko lake kuelekea kwake Segerea mara baada ya kufunga ndo hapo jana.Picha na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages