Rais Kikwete akutana na Rais wa Ufaransa Francois Hollande Jijini Paris - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Rais Kikwete akutana na Rais wa Ufaransa Francois Hollande Jijini Paris

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika Ikulu ya Ufaransa
maarufu kama Champs L’Elysee jijini Paris Jumatano jioni Januari 28,
2015 kuonana na mwenyeji wake Rais Francois Hollande.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais
Francois Hollande katika Ikulu ya Ufaransa maarufu kama Champs
L’Elysee jijini Paris Jumatano jioni Januari 28, 2015.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake wakiwa katika mazungumzo
na mwenyeji wake kuonana na mwenyeji wake Rais Francois Hollande
Ikulu ya Ufaransa maarufu kama Champs L’Elysee jijini Paris Jumatano
jioni Januari 28, 2015 kuonana na mwenyeji wake Rais Francois
Hollande.PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages