Kijana mmoja ambaye jina lake halikufahamika haraka aliweza kumfuata msanii wa vichekesho Tanzania Lucas Mhavile almaarufu JOTI na kumwomba asaini autography katika t-shirt yake bila kujali inachafuKa au laah...Ni hali inayodhihirisha kuwa yeye ni shabiki wa Msanii huyo wa Vichekesho Na kumuonyesha kuwa anamkubali kabisa.
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)