SAFARI YA MWISHO YA MWANASHERIA LUKE SEYAYI‏ - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

SAFARI YA MWISHO YA MWANASHERIA LUKE SEYAYI‏

Shemeji wa Marehemu, Judith Mtania (katikati) akilia kwa uchungu.
Ndugu jamaa na marafiki wakiwa na majonzi wakati wa ibada maalumu ya kuuaga mwili wa aliyekuwa Mwanasheria wa Wizara ya Maliasili na Utalii marehemu Luke Seyayi iliyofanyika katika kanisa la AIC Magomeni, Dar.
Mmoja wa wafanyakazi wenzake akitoa shukurani kwa niaba ya wafanyakazi wenzake.
Mchungaji wa Kanisa la AIC la Magomeni akiongoza ibada maalumu ya kuuaga mwili.
Baadhi ya wafanyakazi wenzake wakitoa heshima za mwisho.
Wanasheria wenzake wakiwa wameubeba mwili wa Marehemu Luke Seyayi tayari kwa mazishi katika makaburi ya Kinondoni, Dar.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages