
Mr. Sylvester Manyara (Manager Mobile Samsung Electronics Tanzania) –Akiwaelezea waandishi wa habari kuhusu pre order ya Samsung Galaxy S5 ambayo imeanza toka tarehe1st April na inaendelea hadi 10 April 2014 ambapo Samsung Globally na Tanzania wata launch simu yao mpya ya Galaxy S5.
Unaweza Kuoda Simu Yako Kupitia Link hizi hapa chini





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)