zoezi la upigaji kura kuchagua mbunge wa jimbo la kalenga laendelea kwa utulivu - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

zoezi la upigaji kura kuchagua mbunge wa jimbo la kalenga laendelea kwa utulivu


Wananchi  wa Nyamihuu wakiwa wamepakizana katika  boda boda  kwenda  kupiga kura
Wananchi  wa Kidamali  wakiwa katika foleni ya kwenda  kupiga  kura
mmoja kati ya  wazee  eneo la Nzihi akitoka  kupiga kura  kumchagua mgombea anayemtaka
Wananchi  wa Nzihi  wakiwa katika  foleni wakisubiri kupiga  kura.Kwahisani ya Michuzi Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages