Meneja
Masoko wa Kampuni ya Proin Promotions, Evance Stephen akionyesha stika
ya TRA ambayo hudhihirisha uhalali wa kazi halisi ya wasanii Kutoka
kampuni ya Proin Promotions ambayo itakuwa na namba za ushindi katika
promosheni hiyo ya Kununua Filamu Halisi kutoka Kampuni ya Proin
Promotions Limited ambapo Mshindi ataibuka na TV ya Samsung pamoja na
Deki yake. Pembeni yake ni Meneja Mradi wa shindano la kusaka vipaji (Tanzania Movie Talent) Joshua Moshi.
..................................................
..................................................
Proin
Promotions Limited, Kampuni inayouza,kusambaza na kutengeneza filamu za
kitanzania Imeanzisha Kampeni ya Kununua Filamu Halisi za Kitanzania
kutoka Proin promotions na Katika kampeni hiyo Watanzania watakaonunua
Filamu halisi za kitanzania kutoka Proin wataweza kujishindia Zawadi ya
TV aina ya Samsung pamoja na Deki yake.
Ili kuweza Kushinda Zawadi unachotakiwa kufanya ni kununua filamu za Proin zenye stika maalumu ya TRA ambayo inakuwa na namba baada ya kununua hiyo FIlamu yenye Stika hizo za TRA, Kutakuwa na droo inatakayochezeshwa na Kampuni ya Proin Kwa Usimamizi wa Bodi ya Michezo ya kubahatisha na namba za stika zitakazo bahatika Kuibuka Mshindi, Kampuni ya Proin itatangaza Kwenye Vyomb vya Habari na Muhusika atatakiwa kufika katika Ofisi za Proin Na Vithibitisho vyake.
Washindi wa Promosheni hii watatangazwa katika Vyomb mbalimbali vya Habari, Blogs, Tovuti yetu ya http://www.proinpromotions.co.tz pamoja na Ukurasa wetu wa facebook wenye kiunganishi kifuatacho http://www.facebook.com/tztmt
Ili kuweza Kushinda Zawadi unachotakiwa kufanya ni kununua filamu za Proin zenye stika maalumu ya TRA ambayo inakuwa na namba baada ya kununua hiyo FIlamu yenye Stika hizo za TRA, Kutakuwa na droo inatakayochezeshwa na Kampuni ya Proin Kwa Usimamizi wa Bodi ya Michezo ya kubahatisha na namba za stika zitakazo bahatika Kuibuka Mshindi, Kampuni ya Proin itatangaza Kwenye Vyomb vya Habari na Muhusika atatakiwa kufika katika Ofisi za Proin Na Vithibitisho vyake.
Washindi wa Promosheni hii watatangazwa katika Vyomb mbalimbali vya Habari, Blogs, Tovuti yetu ya http://www.proinpromotions.co.tz pamoja na Ukurasa wetu wa facebook wenye kiunganishi kifuatacho http://www.facebook.com/tztmt






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)