Mtoto arejesha picha za mwaka 1800 - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Mtoto arejesha picha za mwaka 1800

 Mpiga picha Bill Gekas kutoka nchini Australia, ametuzwa mara nyingi kwa picha zake nyingi na za kupendeza. Alijifunza mwenyewe sanaa hii kutokana na kuenzi picha za watu wa zamanai zilizompa motisha ya kuchora picha zake
 Katika mradi wake ambapo anatoa mfano wake kutoka kwa wachoraji wajuzi wa Ulaya na waliochora mwaka 1800. Gekas amemtumia msichana wake mwenye umri wa miaka sita katika kila picha kuleta taswira hiyo ya waliokuwa watu wakubwa zamani
 Hupanga vyema mavazi na taa wakati akipiga kila picha na kuzifananisha na picha za zamani kiasi. Picha hii yenye kichwa 'Doilies In Delft,' mchoraji wake ambaye aliitwa Johannes Vermeer alizaliwa Delft
 Mchoraji huyo mashuhuri kutoka Uholanzi alichora picha 34 pekee maishani mwake. Moja ya picha zilizowavutia watu ilikuwa moja ya msichana aliyekuwa amevalia kipuli.
Picha nyingine nzuri ilikuwa ya msichana ambaye hakuvalia kipuli. Gekas aliipiga picha hii kwa kutumia taa mbili na vitambara vya nguo. Kwa Picha Zaidi Bofya Hapa

1 comment:

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages