Waziri mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na jamaa wa karibu wa aliyekuwa waziri wa Fedha, Dr. WilliamMgimwa baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu katika kijiiji cha Magunga, Iringa kuwapa pole
wafiwa na kukagua maadalizi ya mazishi Desemba 5, 2014
wafiwa na kukagua maadalizi ya mazishi Desemba 5, 2014
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwafariji wanafamilia wa aliyekuwa Waziri
wa Fedha, Dr. William Mgimwa baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu
katika kijiji cha Magungua, Iringa kuwapa pole na kukagua maandalizi ya
mazishi Desemba 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
wa Fedha, Dr. William Mgimwa baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu
katika kijiji cha Magungua, Iringa kuwapa pole na kukagua maandalizi ya
mazishi Desemba 5, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)