BARABARA ZETU.... - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

BARABARA ZETU....

Tuta la lami likiwa limeibuka katikati ya barabara ya St Mary’s, Tabata wakati barabara hiyo yenye urefu wa kilometa 1.6 ikiwa imejengwa miezi michache iliyopita na Kampuni ya Del Monte (T), kwa Sh milioni 974 za Mfuko wa Barabara.


Zipo taarifa kuwa Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Slaa alishaagiza uchunguzi ufanyike lakini barabara hiyo inazidi kuharibika. (Na Mpigapicha Wetu).

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages