TANZANIA BARA YACHAPWA NA ZAMBIA, YASHIKA NAFASI YA NNE CHALENJI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

TANZANIA BARA YACHAPWA NA ZAMBIA, YASHIKA NAFASI YA NNE CHALENJI

Baadhi ya wachezaji wa Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars'.
Timu ya taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' imeshika nafasi ya nne michuano ya Kombe la Chalenji 2013 iliyofanyika nchini Kenya baada ya kufungwa na timu ya Zambia kwa penalti 6-5. Dakika 90 za mchezo zilimalizika kwa bao 1-1.
Bao la Zambia lilifungwa na Ronald Kampamba katika dakika ya 51 kabla ya Kili Stars kusawazisha kupitia kwa Mbwana Samatta dakika ya 65 kipindi cha pili.
Wachezaji wa Kilimanjaro Stars waliopata penalti ni Mbwana Samatta, Erasto Nyoni, Himid Mao, Amri Kiemba na Ramadhan Singano 'Messi'. Waliokosa ni Haruna Chanongo, Mrisho Ngassa na Kelvin Yondani.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages