MHE. JANUARY MAKAMBA AONGEA NA WANADMV - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MHE. JANUARY MAKAMBA AONGEA NA WANADMV



 Rais wa Jumuiya ya Watanzania DMV bwn. Iddi Sandaly akiutambulisha uongozi mzima wa jumuiya kwa Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknologia Mhe. Jamuary Makamba ambaye Jumapili Dece 8, 2013 aliongea na WanaDMV kwa maswali na majibu kwenye ukumbi wa Mirage. AUDIO ya maswali na majibu tutawawekea baadae.
 Mhe. January Makamba akipata vitafunwa kabla ya kuanza mazungumuzo yake na wanaDMV.
Mhe. January Makamba akiwasalimia wanDMV na kuaambia leo sio siku ya hotuba napendelea tuanze kuulizana maswali kuhusu mstakabali mzima wa nchi yetu kama mnajambo mnataka kulifahamu au mnaushauri mnataka kutoa nipo kwa ajili hiyo.
Mhe. January Makamba akijibu moja ya maswali yaliyoulizwa.
 
Ramona Makamba, mke wa Mhe. January Makamba akipata picha ya kumbukumbu


Juu na chini wanaDMV wakifuatilia maswali na majibu kutoka kwa mhe. January Makamba (hayupo pichani.
Picha ya pamoja 

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages