ONGEZA SIKU ZA KUISHI KWA KUCHEKA LAKINI PIA NI SOMO MOJAWAPO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

ONGEZA SIKU ZA KUISHI KWA KUCHEKA LAKINI PIA NI SOMO MOJAWAPO

Wanaume walikuwa kwenye semina. Waliulizwa; mara ya mwisho kumwambia mkeo unampenda ni lini?

Wengine walisema leo asubuhi, wengine muda sio mrefu.

Muwezeshaji akawaambia kila mmoja sasa hivi amwandikie mkewe ujumbe mfupi kwa simu "sms" amwambie nakupenda mke wangu halafu wabadilishane simu kila mmoja asome majibu ya mwenzake.

Majibu yalikuwa hivi:
1. Unaota au?
2. Umekumbwa na nn?
3. Makubwa!
4. Utanieleza hii sms ulikuwa unamtumia nani...
5. Leo sikusamehi najua kuna kitu.
6. Huyo ulienae ndo kakwambia unitumie hii sms?
7. Najua tu tayari kuna kitu umeharibu.
8. Wewe sema unachotaka.
9. Leo hunipati ng'o! 
10. Nani mwenzangu?
 


TAFAKARI!CHUKUA HATU

1 comment:

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages