| Bondia Shabani Kaoneka kushoto na Said Mbelwa kulia wakitunishiana misuli baada ya kupima uzito katikati ni mratibu wa mpambano huo Rajabu Mhamila 'Super D' |
Bondia Said Mbelwa akipima uzito kushoto ni mpinzani wake Shabani Kaoneka na kulia ni mratibu wa mpambano huo Rajabu Mhamila Super D' mpambano utakaofanyika jumapili ya novemba 10 katika ukumbi wa Zulu Paradies pugu kilumba
| Bondia Shabani Kaoneka akipima uzito kwa ajili ya mpambano huo kushoto ni mpinzani wake said Mbelwa na kulia ni mratibu wa mpambano huo Rajabu Mhamila 'Super D' pICHA NAwww.superdboxingcoach. |





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)