BENJA NA YASIN KUWEPO KESHO KWENYE KIPINDI CHA KIJIWE CHA UGHAIBUNI USIKOSE - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

BENJA NA YASIN KUWEPO KESHO KWENYE KIPINDI CHA KIJIWE CHA UGHAIBUNI USIKOSE


Kesho Jumanne Novemba 12, 2013 Kijiwe cha ughaibuni kitakuwa na akina Benja Mwaipaja na Yasin Randi ambao wamerudi kukata kiu ya mashabiki wao waliokuwa wakiwauliza wapo wapi na wamewaahidi kukutana japo mara moja kwa mwezi ili kwapa burudani mashabiki wao waliokuwa wakiwaulizia muda mrefu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages