MASANJA MKANDAMIZAJI SASA AINGIA MITAANI KUHUBIRI INJILI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MASANJA MKANDAMIZAJI SASA AINGIA MITAANI KUHUBIRI INJILI

Masanja akihubiri neno la mungu kwa watu waliokuja kwenye viwanja vya Karume jijini Dar es Salaam kujionea uwokovu
Masanja akiendelea kutoa neno la mungu kwa watu hao waliofika kumsikiliza wakati wa tukio hilo
Mchungaji mwenzake jina lake halikujulikana kwa haraka akihubiri neno la mungu kwa watu waliofika kwenye viwanja vya Karume hapo jana jioni
Baadhi ya watu waliofika kwenye mahubiri hayo
  Masanja akisikiliza kwa makini maneno yanayotolewa na mchungaji mwenzake jina halikufahamika
Wananchi walisogea mbele ili kuombewa na Masanja Mkandaizaji
Masanja Mkandamizaji akiongea neno na mmoja ya wananchi waliofika kwenye viwanja vya Karume kusikiliza injiri
Ilikuwa ni kuruka kwa shangwe kwenye viwanja vya Karume
Hapa ni kumwimbia mungu tu


Masanja akiwaombea watu waliofika kwenye mkutano huowa injiri. PICHA ZOTE NA PAMOJAPURE BLOG

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages