Home
Unlabelled
SIMBA YAENDELEZA BALAA KWENYE USAJILI - YAMSAINI RASMI BEKI WA KATI NAHODHA WA TIMU YA TAIFA YA BURUNDI GILBERT KAZE
SIMBA YAENDELEZA BALAA KWENYE USAJILI - YAMSAINI RASMI BEKI WA KATI NAHODHA WA TIMU YA TAIFA YA BURUNDI GILBERT KAZE
Klabu
ya Simba imekamilisha rasmi usajili wa beki wa kati Gilbert Kaze kutoka
Vital O ya Burundi. Gilbert aka Demunga ni mmoja wa mabeki bora
walionyesha kiwango kizuri hasa kwenye michuano ya Cecafa iliyopita.
Amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuitumikia Simba. Gilbert Kaze pia
ni nahodha wa timu ya taifa ya Burundi - na alikuwa mmoja wa wachezaji
muhimu wa timu hiyo walioiwezesha Burundi kufuzu kucheza CHAN mwakani
nchini South Africa.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF Mzee Emannuel Humba akionyesha tuzo yake aliyopewa na mfuko huo kwa kutambua...
Contact Form
About Me
Hello, my name is Josephat Lukaza. I've 12 years in Blogging and An Award Winner for the BEST Political Blog in African Bloggers Awards in 2015 Learn More →
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)