
Jhiko Man

Super
Maya Baikoko kutoka Tanga wakifanya vitu vyao kwenye tamasha la siku ya
muziki duniani lilifonyika jana kwenye viwanja vya posta Kijitonyama
Dar es Salaam

Mratibu
wa Utamaduni wa Goethe Institut-Tanzania, Daniel Semheho (kulia)
akiteja jambo na kiongozi wa kundi la Super Maya Baikoko Juma Nassoro
(kushoto) katikati ni Mzungu Kichaa.

Godzila

Ben Paul

Sarakasi pia zilikuwepo, kutoka makini kids

Msanii Nyemo

Barnaba na bendi yake

Kala Jeremiah
--
Tamasha hilo liliandaliwa na umoja wa ulaya wa taasisi za
utamaduni (EUNIC) na kudhaminiwa na Fastjet, Pepsi, Total na balozi za
Ujerumani na Ufaransa.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)