MATUKIO ZAIDI WAKATI WA KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MAREHEMU ALBERT MANGWEA LEO KATIKA VIWANJA VYA LEADERS - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MATUKIO ZAIDI WAKATI WA KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MAREHEMU ALBERT MANGWEA LEO KATIKA VIWANJA VYA LEADERS

Baadhi ya Wakazi wa Jiji Wakitoa heshima zao za Mwisho kabla mwili wa marehemu Albert Mangwea haujasafirishwa kupelekwa Mkoani Morogoro Kwaajili ya Mazishi hapo kesho
Vilio na kupelekea kudondoka
 Polisi Jamii kikosi Cha Mbwa na Farasi wakiwajibika na kuhakikisha amani na usalama unaendelea kuwepo katika viwanja vya leaders
 Polisi Jamii akihakikisha hakuna zengwe linalotokea
 Dj Choka Akihojiwa na Kituo Cha Runinga cha EATV
 Hii ndio Kamati nzima ya Mazishi ya Marehemu Albert Mangwea
 Sehemu ya Wanakamati wa Mazishi ya Albert Mangwea Wa Pili Kushoto ni Lady Jay Dee, Prof Jay na Said Fella.

KWA MAPICHA ZAIDI BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages