WAJASILIAMALI WA JIJINI MWANZA WAPATIWA MAFUNZO NA BENKI YA NMB - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

WAJASILIAMALI WA JIJINI MWANZA WAPATIWA MAFUNZO NA BENKI YA NMB

P1510422Mkuu wa kitengo cha mikopo midogo na ya kati, Filbert  Mponzi akitoa mada kwa wajasiliamali iliyohusu umuhimu wa kuandika mchanganuo wa biashara kwa mjasiliamali.
P1510450Sehemu ya wajasilia mali wanaowezeshwa na benki ya NMB wakifuatilia maada zilizoendeshwa wakati wa semina hiyo.
P1510462Bw. Harun Manyama Ungura mwenyekiti wa Mwanza Business Club akifafanua jambo katika mafundisho hayo. P1510489Mkuu wa kitengo cha Akaunti Binafsi NMB, Abdulmajid Nsekela akielezea huduma ambazo mteja wa NMB anafaidika nazo mara awapo na akaunti na NMB

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages