Redd's Miss Ustawi wa Jamii kufanyika Mei 17 - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Redd's Miss Ustawi wa Jamii kufanyika Mei 17


 Walimbwende wanaowania taji la Redd's Miss Uswawi wa Jamii 2013,wakiwa wameweka pozi kwenye picha ya pamoja  wakati wa mazoezi yao ya kujiandaa na shindano lao hilo linalotarajia  kufanyika Ijumaa hii (mei 17,2013) katika Ukumbi wa SunSirro,Sinza  jijini Dar es Salaam huku wakisindikizwa na Malkia wa Mipasho  Tanzania,Bi. Khadija Kopa na Msanii wa Bongo Fleva,Barnaba.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages