NMB YATUNUKIWA KWA KUFADHILI MKUTANO MKUU WA 29 WAJUMUIYA ZA TAWALA ZA MITAA TANZANIA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

NMB YATUNUKIWA KWA KUFADHILI MKUTANO MKUU WA 29 WAJUMUIYA ZA TAWALA ZA MITAA TANZANIA


Waziri Mkuu Mizengo Pinda akimkabidhi Mkuu wa Idara ya Mahusiano Biashara ya Serikali NMB, Domina Feruzi cheti kama ishara ya shukrani kwa benki ya NMB kwa kuwa mdhamini mkuu wa Mkutano Mkuu wa 29 wa Wajumuia za Tawala za Mitaa Tanzania uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Arusha 
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akishuhudia kadi ya Chapchap baada ya kupata maelezo kutoka kwa Afisa wa NMB Balthazar Clemence wakati wa mkutano wa 29 wa Wajumuia za Tawala za Mitaa Tanzania uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Arusha
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akisalimiana na Maafisa wa benki ya NMB alipotembelea banda la benki hiyo wakati wa mkutano wa 29 wa Wajumuia za Tawala za Mitaa Tanzania uliofanyika mwishoni jijini Arusha

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages