KUTOKA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA LEO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

KUTOKA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA LEO

 Waziri wa ` Ujenzi John Magufuli akisoma hotuba ya bajeti ya Wazara yake, Bungeni Mjini Dodoma, May 13, 2013.
 Waziri  Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Waziri wa Viwanda  na  Biashara, Abdallah Kigoda, Bungeni Mjini Dodoma May 13, 2013.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Bukene, Selemani Zedi kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma May 13,2013.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages