WAZIRI DK. MUKANGARA AKUTANA NA NAIBU MKUU WA UBALOZI WA UJERUMANI NCHINI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

WAZIRI DK. MUKANGARA AKUTANA NA NAIBU MKUU WA UBALOZI WA UJERUMANI NCHINI

 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mukangara akiagana  na Naibu Mkuu wa Ubalozi wa Ujerumani nchini  Hans Koeppel  mara baada ya kumalizika kwa maongezi baina yao yaliyofanyika hivi karibuni ofisini kwake jijini Dar es Salaam. Ubalozi wa Ujerumani umemualika waziri Dk. Mukangara  kuhudhulia mkutano wa mawaziri wa michezo Duniani utakaofanyika mwezi wa tano mwaka huu nchini Ujerumani. 
 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mukangara akiangalia  barua ya mwaliko wa kuhudhulia  mkutano wa mawaziri wa Michezo Duniani utakaofanyika mwezi wa tano mwaka huu nchini Ujerumani. Kulia ni  Naibu Mkuu wa Ubalozi wa Ujerumani nchini  Hans Koeppel ambaye alimtembelea waziri huyo ofisini kwake hivi karibuni kwajili ya kumpelekea barua ya mwaliko.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mukangara akisoma  taarifa  kuhusiana na mkutano wa mawaziri wa Michezo Duniani utakaofanyika mwezi wa tano mwaka huu nchini Ujerumani. Kulia ni   Naibu Mkuu wa Ubalozi wa Ujerumani nchini Hans Koeppel ambaye alimtembelea waziri huyo ofisini kwake hivi karibuni kwajili ya kumpelekea barua ya mwaliko.Picha na Anna Nkinda - Maelezo

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages