Baadhi
ya wakazi wa Mtaa wa Oysterbay jijini Dar es Salaam,wakiwasikiliza baadhi ya
wagombea hawapo (pichani) wa nafasi za ujumbe wa uwakilishi wa baraza la
Marekebisho ya Katiba yaliyofanyika katika Mtaa huo uliopo Kata ya
Msasani jijini Dar es Salaam.
Wagombea
wa nafasi za ujumbe wa baraza la Marekebisho ya
Katiba kutoka Mta wa Oysterbay Kata ya Msasani jijini Dar
es Salaam, wakipiga kura wakati wa uchaguzi huo uliofanyika leo katika shule ya
msingi Oysterbay, kutoka kuklia Eustace Mtumbuka,Bujiku Sakila,Amos
Mwakilasa,Wilfred Mpembe,Anna Matinde na Charles Igogo ambao walichuana katika nafasi za jumla
katika kundi hilo Charles Igogo na Bujiku Sakila waliibuka washindi.
Baadhi
ya wakazi wa Mtaa wa Oysterbay jijini Dar es Salaam, wakiwa katika uchaguzi wa
nafasi za ujumbe wa uwakilishi wa baraza la Marekebisho ya Katiba
yaliyofanyika katika Mtaa huo uliopo Kata ya Msasani jijini Dar es
Salaam
Msimamizi
wa uchaguzi katika Mtaa wa Oysterbay
akitangaza matoke ya uchaguzi wa nafasi za ujumbe wa uwakilishi wa
baraza la Marekebisho ya Katiba yaliyofanyika katika Mtaa huo uliopo Kata ya
Msasani jijini Dar es Salaam.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)