Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,
akisalimiana na Mkurugenzi wa Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa
Kilkimo (IITA) yenye Makao yake Makuu nchini Kongo Dk.Nteranya Sangiinga,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar na ujumbe wake leo.
Mkurugenzi
wa Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Kilkimo (IITA) yenye Makao
Makuu nchini Kongo Dk.Nteranya Sangiinga,(aliyesimama) akitoa maelezo
kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,wakati wa mazungumzo akiwa na Ujumbe wake Ikulu Mjini Zanzibar
leo. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)