WEBSITE MPYA YA AJIRA IPO HEWANI SASA..TEMBELEA SASA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

WEBSITE MPYA YA AJIRA IPO HEWANI SASA..TEMBELEA SASA

Ndugu Msomaji,
Kutokana na Changamoto za Ajira ambazo Taifa letu la Tanzania inakabiliana nazo, Kampuni yaConnectmoja Technologies ikishirikiana na OMA Financials tumeamua kukuletea Njia mbadala ya kufikia malengo yako. Kwa pamoja Tunaunda Taasisi isiyo ya kiserikali na pia isiyo na mfumo wa kibiashara ambayo inaitwa  VIJANA AJIRA(VA).
Taasisi hii itajihusisha na mambo kadhalika ikiwamo, Kuandaa mijadala, kuandaa warsha Pamoja na kutangaza nafasi mbalimbali za kazi nje na Ndani ya Nchi, Hii ni Taasisi Suluhisho kwaajili ya matatizo yanayowakumba watanzania hasa katika Ajira na kujiajiri.
Tunakukaribisha uunge mkono Jitihada zetu kwa kuitembelea Tovuti hii pamoja na Kuitangaza popote unapopata Nafasi. Ni rahisi tu, yaani Tembelea www.vijanaajira.or.tz 
Vijana Ajira – Co-Founders
--
Connectmoja Technologies Co. Ltd
Dar es salaam

--

Deogratius Lazari
Project Manager - Connect MOJA
LA investment
Tell: +255 714 88 000 7 / +255 713 123 701
Dar es salaam

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages