
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akimsindikiza Waziri Mkuu, wa Denmark Ms. Helle
Thorning- Schmidt kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere ambaye Machi
8, 2013 usiku aliondoka kurejea nyumbani baada ya ziara ya kikazi
nchini.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri Mkuu wa
Denmark, Ms, Helle Thorning Schmidt kwenye uwanja wa ndege wa Julius
Nyerere wakati mgeni huyo alipoondoka Machi 8, 2013 usiku kurejea
nyumbani baada ya ziara yake ya kikazi nchini.Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)