TITANIC BAR KUTOKA VINGUNGUTI YAIBUKA MSHINDI WA BAR BORA YA KUCHOMA NYAMA JIJINI DAR KATIKA SHINDANO LA SAFARI LAGER NYAMA CHOMA LILILOFANYIKA LEADERS JANA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

TITANIC BAR KUTOKA VINGUNGUTI YAIBUKA MSHINDI WA BAR BORA YA KUCHOMA NYAMA JIJINI DAR KATIKA SHINDANO LA SAFARI LAGER NYAMA CHOMA LILILOFANYIKA LEADERS JANA

 Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mh Raymond Mushi (Mwenye Miwani) akiwa meza kuu na Meneja wa Kinywaji Cha Safari lager Oscar Shelukindo (Mwenye Kofia) katika kushuhudia Fainali za safari lager nyama choma zilizofanyika jana katika viwanja vya leaders
Mkurugenzi wa Titanic Bar Bw. Amir Juma Kidula akipokea Pesa taslimu shilingi Milioni 1 na Cheti kutoka kwa Mgeni rasmi ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala Mh Raymond Mushi mara baada ya bar yake kuibuka Mshindi wa Kuchoma Nyama wa Kuchoma Nyama jijini Dar katika fainali za Safari lager Nyama Choma zilizofanyika Jana kwenye viwanja vya leaders
 Amir Juma Kidula akionyesha pesa taslimu na Cheti alichokabidhiwa baada ya Bar yake kuibuka mshindi wa Kwanza katika Fainali za Safari lager Nyama choma zilizofanyika jana katika viwanja vya leaders
Wafanyakazi na Wadau wa Titanic Bar kutoka Vingunguti wakimpongeza Mkurugenzi wa Titanic Bar baada ya Kutangazwa Mshindi hapo jana
 Wanenguaji wa Bendi ya Twanga Pepeta Wakijituma jukwaani katika fainali za safari lager nyoma zilizofanyika katika viwanja vya leaders hapo jana
Muimbaji wa Twanga pepeta Akitoa burudani katika viwanja vya leaders hapo jana katika fainali za nyama choma
Vijana wa Sarakasi wakionyesha uwezo wao katika fainali za safari lager nyama choma zilizofanyika katika viwanja vya leaders hapo jana
Sehemu ya Bar zilizohudhuria katika fainali hiyo ya Safari lager Nyama Choma zilizofanyika Jana katika Viwanja Vya Leaders
Sehemu ya Umati uliohudhuria katika fainali za Safari Lager Nyama Choma Zilizofanyika Jana katika Viwanja Vya Leaders

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages