MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA) KANDA YA MASHARIKI YATOA SEMINA YA MAJUKUMU YA MAMLAKA HIYO KATIKA WILAYA YA MAFIA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA) KANDA YA MASHARIKI YATOA SEMINA YA MAJUKUMU YA MAMLAKA HIYO KATIKA WILAYA YA MAFIA

 Hawa Sulemani, akijisomea moja ya vipeperushi vya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzaniawakati wa semina ya Majukumu ya Mawasiliano Kanda ya Mashariki iliyofanyika katika Wilaya ya Mafia  kwa kuwashirikisha viongozi mbalimbali wa wilaya hiyo.
   Mhandisi wa Masafa wa Mamlaka ya Mawssiliano Kanda ya Mashariki, Stella Bunyenza, akitoa mada ya Ukuaji wa Teknolojia  wakati wa Semina ya Majukumu ya Mamlaka ya Mawsiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Mashariki iliyofanyika katika Wilaya ya Mafia.
 Mhasibu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Kanda ya Mashariki Patrice Lumumba akitoa maada ya Mfumo wa Anuani za Makazi na Posti Kodi wakati wa Semina ya Majukumu ya Mamlaka ya Mawasiliano Kanda ya Mashariki iliyofanyika Wilayani Mafia.
 Mkuu wa Wilaya ya Mfia Sauda Mtondoo akimkabidhi  Prudence Nyombi zawadi ya King’amuzi cha Star timu baada ya kujishindia kutokana na kujibu swali aliloulizwa juu ya matumizi ya Mawasiliano, wakati wa Semina ya Majukumu ya Mamlaka ya Mawasiliano Kanda ya Mashariki iliyofanyika Wilayani Mafia.katikati ni Mkurugenzi wa Watumiaji na Watoa Huduma za Mawasiliano Dk. Raymond Mfungahema akishuhudia.
 Mkurugenzi wa Watumiaji na Watoa Huduma za Mawasiliano Dk. Raymond Mfungahema akimkabidhi zawadi ya simu aina ya Nokia Mkuu wa Wilaya ya Mafia Bi,Sauda Mtondoo wakati wa Semina ya Majukumu ya Mamlaka ya Mawsiliano Tanzania (TCRA)Kanda ya Mashariki iliyofanyika katika Wilaya ya Mafia.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages