MWAMVITA MAKAMBA AMTEMBELEA ABSALOM KIBANDA NA KUMJULIA HALI BAADA YA KUWASILI AFRIKA KUSINI JANA USIKU - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MWAMVITA MAKAMBA AMTEMBELEA ABSALOM KIBANDA NA KUMJULIA HALI BAADA YA KUWASILI AFRIKA KUSINI JANA USIKU

 Mwanvita Makamba, akiwa katika Chumba alicholazwa Mhariri Mkuu Mtendaji, wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd,Absalom Kibanda, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, wakati alipomtembelea kumjulia hali katika Hospitali ya Milpark baada ya kufikishwa katika hospitali hiyo jana usiku nchini Afrika ya Kusini. 
Kibanda, akiendelea na matibabu katika Chumba cha wagonjwa mahututi katika Hospitali hiyo. Picha na Amani Tanzania Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages