MTOTO WA BONDIA JAPHET KASEBA, SUZAN KASEBA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MTOTO WA BONDIA JAPHET KASEBA, SUZAN KASEBA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

 Mtoto Suzan Kaseba, akimlisha keki mama yake Wema Kaseba, wakati wa hafla fupi ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika shuleni kwao St. Josephe juzi. Katikati ni baba yake mzazi Japhet Kaseba, bingwa wa Taifa wa mchezo wa masumbwi nchini.
 Bingwa wa Taifa mchezo wa Masumbwi nchini, Japhet Kaseba na mkewe kwa pamoja wakilishwa keki na mtoto wao Suzan, wakati wa hafla fupi ya kusherehekea siku ya kuzaliwa ya mtoto huyo.
 Bingwa wa ngumi za kulipwa uzito wa kati Japhet Kaseba (kulia) na mkewe wakiwa katika picha ya pamoja na mtoto wao Suzan Kaseba, pamoja na wanafunzi wenzake na mtoto wao, wakati wa sherehe ya mtoto huyo ya kutimiza umri wa miaka 11.Picha na Super D

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages