MSIBA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM):MWL BERNADETA MINJA APOTEZA MAISHA KATIKA AJALI YA BASI LA MOHAMED ILIYOTOKEA JANA USIKU ENEO LA GAIRO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MSIBA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOM):MWL BERNADETA MINJA APOTEZA MAISHA KATIKA AJALI YA BASI LA MOHAMED ILIYOTOKEA JANA USIKU ENEO LA GAIRO

 Marehemu Bernadeta Minja Enzi za Uhai Wake

Mwalimu Bernadeta Minja wa Kitivo cha Sayansi ya Jamii, Idara ya Uchumi na Biashara Ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) amefariki dunia jana usiku katika ajali ya basi la Mohamed iliyotokea jana usiku eneo la Gairo akiwa safarini kuelekea Dodoma yeye pamoja na mfanyakazi wake wa ndani. Pole, sala na dua zetu ziende kwa familia yake, ndugu, jamaa, marafiki na jamii nzima ya UDOM.

 Msiba Upo Dodoma eneo la Kisasa alipokuwa akikaa Marehemu

Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa Jina la bwana libarikiwe

Lukaza Blog inapenda kutoa Pole Kwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Wafanyakazi Wa Chuo Kikuu Cha Dodoma, Wanafunzi Wa UDOM pamoja na Familia nzima ya Marehemu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages